Volver al foro de Tanzania

Ulinzi na usalama.

Publicado en Foro de Tanzania

unadhani jukumu la ulinzi na usalama wa kila raia ni jukumu la polisi pamoja na makampuni ya ulinzi? nafasi ya raia katika kuhakikisha swala la ulinzi na usalama linapo namna gani. je unalitekeleza hilo kwa namna gani?

Publicar una respuesta